Tuesday, October 22, 2013

Tengeneza fedha kwa kulima muhogo

Muhogo umekuwa mali. Licha ya kutumiwa kama chakula pia muhogo ni zao la biashara tembelea masoko ya Tandale, Buguruni, Tandika na Mbagala biashara ilivyoshamiri. Muhogo umekuwa mkombozi kwa akina mama katika jiji la Dar Es Salaam. Akina mama hao huuza muhogo mbichi (mtamu) kwa kutafuna, huchemsha na hutengeneza chips za muhogo (chips dume!)

No comments: