Thursday, October 24, 2013

Mwanamke mlemavu mjasiriamali

Wengi wetu tumekamilika kimwili lakini hatupendi kufanya kazi ili tuweze kujipatia mkate wetu wa kila siku.
Lakini mama huyu, licha ya ulemavu wake ameamua kufanya biashara ya ndizi akiwa katika baiskeli yake. Hivi ndivyo inavyotakiwa.

No comments: