Monday, October 21, 2013

St. Vincent Dispensary-Vikindu - Masaa 24

Zahanati ya Kanisa Katoliki St. Vincent iliyopo Vikindu mkoa wa Pwani sasa inafanya kazi masaa 24 na inapoke Bima ya NHSF. Zahanati hii iko pembezoni mwa barabara iendayo Mtwara karibu kabisa na Kanisa Katoliki Parokia ya Vikindu- St. Vincent de Paul

No comments: