Tuesday, October 22, 2013

Mbegu bora za muhogo

Usiokote pingili ovyo za muhogo na kwenda kuzipanda shambani. Unaweza kueneza magonjwa kwenye shamba lako la muhogo, unaweza kupanda aina ya muhogo ambao ni mchungu. Pata mbegu bora kutoka kwenye vituo vya kilimo vinavyotambulika au wazalishaji wa mbegu wanaotambulika. (Picha kwa hisani ya kijarida cha IITA).

No comments: