Monday, October 21, 2013

Wajumbe wa Africana kikaoni - Chang'ombe

Siku ya kumbukumbu ya Baba wa Taifa - Mwl. J.K.Nyerere (14/10/2013) Kikundi cha Africana kilifanya kikao chake cha Mwezi huko Chang'ombe jijini Dar. Kikao cha mwezi Novemba kitanyika Ursino Estate, Dar Es Salaam. Wanachama mtatarifiwa tarehe kamili.
Madadaz-Ceasar Mloka, Slyvia Daulinge na Ghana Kunambi
Silyvester Jakka na Anthony Kunambi
Christian Mkoba,Suzy Kobelo na Maria Mkoba
Dada Ghana Kunambi
Dada Suzy Banzi

No comments: