Monday, October 21, 2013

Matunda - Fahari ya Tanzania

Tanzania imebarikiwa kuwa na hali ya hewa na udongo mzuri unaoweza kustawisha mazao ya aina mbalimbali yakiwemo machungwa na ndizi. Angalia ndizi na machungwa yakiuzwa Mabagala Rangi tatu jijini Dar Es Salaam.

No comments: