Thursday, October 31, 2013

Kampa amapofurahia utamaduni wa kwao

Ukimuona mtu mzima anaingia ndani ya uwanja basi tambua kwamba imemkuna. Pichani Mkurugenzi wa TANDAN FARMS ya Vikindu-Kisemvule Bw. Kampa ambaye ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya sherehe ya kuwapongeza Bw & Bi Joe Mutahangarwa baada ya kufunga ndoa yao akicheza ngoma ya asili ya  Kihaya.

No comments: