Thursday, November 14, 2013

BENJAMIN MKAPA MIAKA 75

Tarehe 12/11/2013 aliyekuwa Rais wa awamu ya Tatu Jamhuri ya Muungano Tanzania Mhe. Benjamin William Mkapa  alitimiza miaka 75 ya kuzaliwa kwake. Pichani akiongoza maandamano na mkewe kulekea kanisani-Upanga kwa misa ya shukrani. HONGERA! (Picha kwa hisani ya gazeti la Daily News 14/11/2013)

No comments: