Tuesday, November 5, 2013

Bi Angelina akiaga mwili wa mumewe

Bi Angelina Mshana akiuaga mwili wa mumewe marehemu Lawrence Mbunda aliyefariki tarehe 1/11/2013 na kuzikwa kijijini kwao Mvumi, Kilosa Morogoro, tarehe 3/11/2013. AMINA

No comments: