Thursday, November 14, 2013

Rooney anaposhangilia ushindi

Manchester United ya Uingereza si klabu ninayoishabikia licha ya kuvaa jezi rangi nyekundu! Mimi huko timu yangu ni Liverpool (pengine ni kasumba tu) na duniani timu yangu ninayoishabikia ni Barcelona (si kwa sababu ya Messi lakini  ni soka yao yenye mvuto). Naipenda pia Beyern  Munich ya Ujerumani kwa jitahada zao wawapo uwanjani. Lakini pia naipa saluti Manchester kwa kujituma  kwao, wamekuwa mwiba kwa Arsenal kwa muda mrefu sasa.

No comments: