Thursday, November 7, 2013

Kilimanjaro beer mali ya Tanzania

Fikiria kijua cha saa sita. Halafu unapewa kituliza kiu cha Kilmanjaro beer iliyo baridi. Sijui utajisikiaje! Hii ni mali ya Tanzania. Beer safi - Premium Lager - sasa imetoa chupa mpya ya ml 375 kwa bei ya Tshs 1600. Hongera Tanzania Breweries. Banzi wa Moro ndo kinywaji chake. Angalau vibia  2 kwa siku!

No comments: