Thursday, November 7, 2013

Korosho kutoka kituo cha Utafiti Naliendele


Korosho safi tamu zinavutia kutoka kituo cha Utafiti Naliendele, Mtwara.Watafiti wa zao la korosho walipo kwenye kituo cha Utafiti  Naliendele mkoani Mtwara  wamefika mbali zaidi, si tu wanatafiti mbegu bora, kinga ya magonjwa na wadudu, rutuba ya udongo. Sasa wamefikia mlaji hiyo ndiyo moja ya bidhaa zao kutoka korosho wanazotafiti. Hii ni mali ya Watanzania. Watanzania tuchangamkie kilimo cha korosho fedha iingie mifukoni mwetu.

No comments: