Thursday, November 14, 2013

Mkapa picha ya miaka 75 na Maaskofu

Mhe. Benjamin William Mkapa  (mwenye suti katikati), Rais wa awamu ya Tatu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na mkewe (kushoto kwake) pamoja na Cardinal Polycarp Pengo  (mwenye joho la dhahabu) na maaskofu wengine katika picha ya pamoja baada ya kuadhimisha ibada ya misa takatifu ya SHUKRANI ya kutimiza miaka 75 ya kuzaliwa  kwake tarehe 12/11/2013. Ibada imefanyika kwenye Kanisa Katoliki la Mt. Imakulata, Upanga, jijini Dar Es Salaam 9picha kwa hisani ya gazeti la Dailnews 14/11/2013)

No comments: