Thursday, November 14, 2013

Mkapa miaka 75 ya kuzaliwa-NENO LA SHUKRANI

Rais wa awamu ya Tatu - Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Mhe. Benjamin Mkapa akitoa NENO LA SHUKRANI  kumshukuru MUNGU kutimiza miaka 75 ya kuzaliwa kwake tarehe 12/11/2013. Misa ya shukrani ilifanyika kwenye Kanisa Katoliki la Mt. Imakulata, Upanga, jijini Dar Es Salaam. (Picha kwa hisani ya gazeti la Dailynews 14/11/2013).

No comments: