Thursday, November 14, 2013

Wanasimba tukishangilia mpaka mwisho wa game

Baada ya kutangulia goli 3-0  kipindi cha kwanza - Yanga walifikiri mchezo umekwisha walisahau kuwa zimebaki dakika 45. Ndipo walipostukia magoli matatu yakirudi yoteee. Na hapa tikishangilia kwa kwenda mbele. Chezea mnyama weye!

No comments: