Tuesday, November 12, 2013

Mwl. Nyerere akipiga ngoma


Nimekuwa nikiiona picha hii ya Baba wa Taifa akipiga ngoma na huku mtoto akimwangalia kwa makini. Kumbe mtoto huyo ni mwanae Madaraka Nyerere. Kwa kweli ni picha nzuri ya ukumbusho. Hivi sasa Madaraka ni mtu mzima kabisa!   (Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi 14/10/2013)

No comments: