Thursday, November 14, 2013

Miaka 75 ya Mhe. Benjamin Mkapa Ibada kanisani

Ndugu na jamaa na wageni waalikwa walishiriki Ibada ya misa ya Shukrani ya kutimiza miaka 75 ya kuzaliwa iliyoombwa na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Benjamin William Mkapa. Ibada hiyo ilifanyika katika Kanisa Katoliki  la Upanga -Mt.Imakulata tarehe 12/11/2013. Si wengi wanaokumbuka kutoa SHUKRANI kwa jambo jema kama hili. HONGERA ! (Picha zote kwa hisani ya gazeti la Dailynews  14/11/2013)

No comments: