Friday, November 8, 2013

Hivi ni vyetu

Hizi ni bidhaa zetu. Watanzania tununue na kuwashauri wabunifu hawa jinsi ya kuongeza ubora wa bidhaa zao. Wajasiriamali nao  waangalie bei za bidhaa zao. Tunakimbia kununua bidhaa zao kwa sababu zilizo nyingi bei haiendani na ubora wa bidhaa hizo. (picha kwa hisani ya gazeti la mwananchi)

No comments: