Tuesday, November 5, 2013

Bi.Halima Kihemba akikabidhi rambirambi

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Bi. Halima Kihemba akikabidhi rambirambi  yake pamoja na familia kwa mke wa marehemu Mbunda Bi. Angelina Mshana (Catherine) wakati alipohudhuria mazishi ya marehemu Lawrence Mbunda yaliyofanyika kijijini Mvumi, Kilosa, Morogoro tarehe 3/11/2013.

No comments: