Thursday, November 7, 2013

Mwanamama mchoma mihogo Arusha

Mwanamama  Victoria Emmanuel akiwa amembeba mwanae akichoma mihogo na ndizi jijini Arusha.
Hakuna shughuli ya mwanaume tu kila mtu anaweza kufanya shughuli yoyote ukiwa na nia. Tukijishughulisha riziki inapatikana!

No comments: