Tuesday, November 12, 2013

Nyerere na Wasaidizi wake

Enzi hizo, Baba wa Taifa Mwl. Julius Kamabarage Nyerere akiongea na wasaidizi wake. Ninaowakumbuka pichani mwenye suti nyeusi ni Hayati Abdulrahaman Babu, Kushoto ni Joseph Sinde Warioba na wa pili kutoka kulia mwenye miwani ni Benjamin William Mkapa. (Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi Oktoba 14, 2013)

No comments: