Thursday, November 7, 2013

Wadada wamekabidhiwa bendera

Wachezaji wa timu ya Taifa ya wanawake U-20 (The Tanzanite) wamekabidhiwa bendera na kuondoka jana kuelekea nchini Msumbiji. Tunawatakia ushindi 9picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi)

No comments: