Thursday, November 14, 2013

Zawadi ya Mwakilishi wa Papa kwa Mkapa

Balozi wa VATICAN nchini Tanzania Archbishop Francusco Montecillo Paddila  alitoa ujumbe maalumu kwa  Mhe. Benjamin Mkapa wakati wa Ibada ya Shukrani ya kutimiza miaka 75 ya kuzaliwa kwa Mkapa ambaye alikuwa Rais wa awamu ya Tatu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ibada hiyo ilifanyika tarehe 12/11/2013 ndani ya Kanisa Katoliki la Mt.Imaculata lililopo Upanga, Jijini Dar Es Salaam. (Picha kwa hisani ya gazeti la Dailynews 14/11/2013)

No comments: