Tuesday, November 12, 2013

Nyerere alimsaidia Raila Odinga kusoma nje

Raila Odinga akisalimiana na Mhe.Rais, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
"Harakati za kupigania uhuru ni pamoja na kuwasaidia wengine wanaowekewa vikwazo na wanaowatawala." Raila Odinga, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya ambaye sasa ni kiongozi mkuu wa Muungano wa Cord alipata Pasipoti ya Tanzania iliyotolewa na Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere iliyomuwezesha kusafiri kwenda Ujerumani kwa masomo. Taarifa hii ni kutoka gazeti la Mwananchi la tarehe 14/10/2013.

No comments: