Tuesday, February 10, 2015

David Kafulila

Mhe. David Kafulila. Mbunge kijana mweledi anayeibua mengi Bungeni anachozungumza ana uhakika nacho. Wabunge kama hawa ndiyo wakuwapigia kura. Mbunge gani miaka mitano inapita hata hujaonekana kwenye Hansard! (kumbukumbu za bunge).

No comments: