Thursday, February 19, 2015

Iko siku atakuwa Mhasibu wa Dar Young Africans

Mhasibu Pouline Mlekani amechaguliwa kwa kishindo kushika nafasi ya Uhazini ndani ya Tawi la Yanga Tabata. Pouline ni mwanachama na mpenzi wa YANGA. Iko siku atakuwa mhasibu wa kwanza wa kike wa Klabu ya YANGA.HONGERA!

No comments: