Thursday, February 19, 2015

Mnyama anatisha!





Umeshawahi kumuona simba wa kweli (siyo kwenye picha au video).Huyu ndiye Simba au 'mnyama' ni mfalme wa  msituni, binadamu pia humuogopa. Ndiyo maana hapa Tanzania kuna club moja ya michezo inaitwa 'Simba Sports Club.' Hii si Klabu ya kuchezea mwaka huu tayari imeshanyakua vikombe viwili muhimu (Mtani Jembe na Mapinduzi).Kweli  Mnyama anatisha. Hifadhi zetu za Taifa  zilizo nyingi SIMBA hupatikana tuwe na mazoea ya kuzitembelea. Inakuwaje wageni hasa wazungu wanafahamu mengi kuhusu Hifadhi za Taifa kuliko sisi?

No comments: