Tuesday, February 10, 2015

Hakuna ardhi isiyofaa

Hakuna ardhi isiyofaa. Ukishindwa kustawisha mpunga,mahindi,mtama na mbogamboga unaweza kustawisha miti ya aina mbalimbali inayoweza kukupatia kipato cha kuweza kununua mahitaji mengine kama vile chakula, mavazi na makazi.

Huko India wanafanya tafiti mbalimbali ya matumizi mbadala ya ardhi kama vile kupanda miti. Tayari wameshapata matokeo mazuri ya aina ya miti inayoweza kustawishwa kwenye aina hizo za udongo kama vile udongo wenye tindikali nyingi kupitia kituo kilichopewa jukumu la kufanya tafiti za udongo. Kituo chetu cha utafiti wa kilimo Tumbi-Tabora kimepewa majukumu ya kuendesha tafiti hizo. Tukae mezani kukiwezesha kituo hiki kiendelee kufanya tafiti hizo kwa manufaa ya taifa.

No comments: