Tuesday, February 10, 2015

Wako wapi akina baba kwenye Jumuiya Ndogondogo?



Jumuiya Ndogondogo ya Mt. Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Vikindu ni Jumuiya kongwe Parokiani na yenye wanajumuiya wengi. Jumuiya inajitahidi kukutana karibu kila Jumamosi na kushiriki shughuli za parokia inapohitajika. Hata hivyo, parokia hii ina udhaifu mmoja, wanaume wachache wanaonekana kwenye Jumuiya ingawa wapo wengi. Haingii akilini watoto wote hawa na akina mama hawa wanaishi bila akina baba. Hii ni changamoto kubwa kwenye Jumuiya zetu.

No comments: