Monday, February 23, 2015

Utafiti unaofanywa kwenye mradi wa EAAPP

'Eastern Africa Agricultural Production and Productivity Project.' unatekelezwa na nchi nne zilizoko Mashariki ya Afrika nazo ni Tanzania, Uganda, Kenya na Ethiopia. Watanzania tumejikita zaidi katika zao la mpunga ingawa mazao ya muhogo, ngano na ng'ombe wa maziwa nao unafanyiwa  kazi. Katika mradi huo moja ya shughuli zinazofanyika ni Utafiti. Wakati mradi huu unafikia ukingoni mwaka huu 2015, watafiti wameandaa kijitabu chenye muhtasari wa tafiti zilizofanyika chini ya mradi huu. Moja ya mradi ambao umeandikiwa muhtasari huo ni huu hapa.'Genetic variability of improved and traditional rice (oryza sativa L.) varieties from Eastern Africa for Phosphorus deficiency tolerance. Watafiti wanaoshughulika na utafiti huu ni Atugonza Bilaro (ARI-Tumbi, Tabora, Tanzania);Ahura Luzi-Kihupi (Sokoine University of Agriculture, Morogoro,Tanzania); na Khady Nani Drame (Africa Rice Centre-Dar Es Salaam, Tanzania).
Hebu tuone kwa kifupi kuhusu mradi huo:-

"Low soil phosphorus is one of the limiting mineral nutrients in rice production. In Tanzania, available soil P in some rice producing area is as low as 2.7 mg/kg soil. This is aggravated by the fact that the majority of Tanzanian rice farmers do not apply fertilizers or apply only urea probably because of associated high costs. Therefore, developing P-efficient varieties will ensure relatively high yields in P-decifient areas and at reduced costs for smallholders. This study aimed at improving P-deficiency tolerance of local rice varieties grown widely in the East and Southern Africa (ESA) region. The specific objectives are (i) to identify tolerant and susceptible widely grown rice genotypes under phosphorus deficient soil conditions, and (ii) to study the distribution of Phosphorus starvation tolerance (PSTOLI) gene as a basis for selecting recipients in the biparental crosses."

No comments: