Monday, February 2, 2015

Kituo cha kuuza maziwa Bumbuli





Hiki ni moja ya vituo vya kununulia maziwa vilivyopo kwenye Halmashauri ya Bumbuli. Hifadhi ya maziwa ipo, maziwa huletwa kwenye vyombo safi. Kumbukumbu za maziwa kwa kila mfugaji hutunzwa ili kutoa malipo sahihi. Mfumo huu huendeshwa na vyama vya shirika vilivyopo katika Halmashauri hiyo. Maziwa yaliyochakachuliwa hayanunuliwi mara tu yanapobainika kutokana na vipimo vinavyotumika kupata maziwa safi na salama.

No comments: