Tuesday, February 10, 2015

Safari kuelekea Jumuiya Ndogondogo

Kila siku ya Jumamosi asubuhi, Jumuiya yetu Ndogo ya Mt.Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Vikindu hukutana kwenye moja ya nyumba ya mwanajumuiya kwa kuzingatia ratiba kwa lengo la kusali pamoja na kujadili masuala ya Jumuiya. Jumuiya inahimiza watoto kushiriki kwenye Jumuiya ili kujenga Kanisa endelevu. Pichani kijana  wa Jumuiya anakata mbuga kwenda kwenye Jumuiya huku akiwa amebeba vitabu na kumbukumbu mbalimbali.

No comments: