Thursday, July 24, 2008

Je, wananchi wanafahamu maana hasa ya Ushirika

Binafsi huwa napenda kumsikiliza Mbunge wa Kibakwe Mh.Simbachawene anavyofafanua mambo au kujenga hoja. Na hivi karibuni katika Bunge la Bajeti linaloendelea hivi sasa mjini Dodoma, Mh.Simbachawene alieleza kuwa kimsingi "Ushirika ni kuunganisha nguvu ndogondogo ili kuweza kutekekeleza jambo kubwa." Kama tunafahamu maneno hayo ya msingi aliyosema Mh. Mbunge basi tunaweza kupiga hatua kubwa katika kujenga ushirika ambao utatuletea maendeleo. Asante sana Mh.Simbachawene.

No comments: