Thursday, July 3, 2008

Unajua asili ya jina Tabora?

Mji wa Tabora asili yake ni mzee mmoja aliyekuwa akiuza viazi vitamu vilivyojulikna kwa jina la matoborwa. Wasafiri na watu wengine wakapaita mahali hapo ni kwa Mzee Matoborwa sijui ilikuwaje hadi kufupisha kuitwa Tabora pengine wazungu walishindwa kutamka Matoborwa!

Lakini wakati wa ukoloni wa Kijerumani Tabora ilikuwa inajulikana kwa jina la UNYANYEMBE.

No comments: