Friday, July 11, 2008

Zimbabwe ni sawa na Marekani tu

Bob Mugabe amewapasha Wamarekani na Waingereza kuwa wasipende kuingilia mambo ya ndani ya nchi yake. Marekani ni kama Zimbabwe. Kinachomkera BOB ni Wamerekani na Waingereza kulishupalia suala la Zimbabwe ili wananchi wa Zimbabwe wamuone BOB hafai. Tumpe nafasi Mugabe aseme.

No comments: