Tuesday, November 4, 2008

Bwana na Bibi Mangengesa Mdimi walifurahi


Tarehe 18/10/2008 pale Afri-Centre jijini Dar- Bw na Bibi Mangengesa Mdimi walijawa na furaha kubwa kushuhudia sherehe ya watoto wao Joseph na Flora. Waangalie wanavyowakaribisha wageni waalikwa kwa kupunga mikono yao juuu juuu kabisa. Hongera sana

No comments: