Monday, November 24, 2008

Nairobi nayo inatatizo ya “traffic jam”

Mara baada ya kutua Jomo Kenyata International Airport na kuelekea Intercontinental Hotel, katikati ya jiji la Nairobi, tunapambana na Traffic jam kubwa. Pamoja na kuwa na barabara nyingi na zile zinazokatisha juu, lakini bado jiji la Nairobi lina tatizo la Traffic jams!

Kumbe si Dar tu. Kama hakuna utaratibu mzuri, kuwa na barabara nyingi na pana hakuwezi kumaliza tatizo la "traffic jam" katika miji yetu.

No comments: