Friday, November 14, 2008

Si mshabikii OBAMA

Nimefurahi kuwa OBAMA ameshinda kinyang'anyiro cha kiti cha Rais nchini Marekani.
  • Lakini sitegemei maajabu kutoka kwa OBAMA katika kuboresha maisha yangu
  • Kwa wale wanaotegemea misaada hiyo wasahau na haitakuwa rahisi kama wanavyofikiri wao
  • Wakumbuke kuwa OBAMA ni Mwamerika licha yakuwa ana rangi nyeusi!
  • Watanzania tuchape kazi
  • Watanzania tuongeze uzalendo na tuipende nchi yetu
  • Watanzania tuwe wabunifu
  • Watanzania tupunguze kulalamika bila sababu ya msingi
  • Tupunguze vitendo vya rushwa

Kwa hiyo simshabikii OBAMA

No comments: