Tuesday, November 25, 2008

Eti sisi Waafrika ni wabaguzi zaidi kuliko wazungu?

Kuna baadhi ya watu wanasema kuwa Obama kuwa Rais Amerika ni rahisi zaidi kuliko Clinton kuwa Rais wa Kenya! Wanasema kuwa sisi Waafrika ni wabaguzi zaidi kuliko wazungu je ni kweli?

No comments: