Tuesday, November 4, 2008

Flora alipata Kabati ya "Mbeho"




Inasemekana kuwa ukitaka kuchumbia mtoto wa Kichagga utaulizwa kuwa je huyo mchumba ana Kabati ya Mbeho? Na kweli Flora aliuliza swali hilo na Joseph alijibu ndiyo. Na kweli bwana, Mwenyekiti wa Kamati Bw Inno Banzi alimkabidhi Flora Yesusaa Msechu Kabati ya Mbeho siku ya harusi yao tarehe 18/10/2008.

No comments: