Friday, November 14, 2008

Maximo unaikomoa Tanzania si Kaseja

Anayekomolewa ni Mtanzania na si Kaseja. Kama Kocha Maximo una ugomvi na Kaseja basi nendeni kortini. Usituharibie soka letu. Kaseja bado ni mlinda mlango na 1 hapa nchini. Mimi ni mpenzi wa Simba hata hivyo bado namuona Kaseja ni golikipa bora licha ya kuwa amehamia Yanga. Maximo mpange Kaseja timu ya Taifa uone vitu vyake achana na huyo Ivo Mapunda anayetematema mipira hovyo.

No comments: