Thursday, February 11, 2010

ATHARI ZA KUPUNGUZA WAFANYAKAZI


Hebu soma hiyo taswira hapo juu. Wazungu wanarudi nyuma na kung'amua kuwa kupunguza wafanyakazi kuna athari kwa wafanyakazi wanaopunguzwa, uchumi pamoja na mambo mengine. Hili ni fundisho kwetu. Tulibeba kwa haraka sera ya kupunguza wafanyakazi bila kuangalia madhara yake sekta nyingi hivi sasa hapa nchini zina uhaba wa wataalamu. Wataalamu waliopo sasa wanastaafu hivyo kulazimika kuwaajiri kwa mkataba. Tutakujakung'amua hapo baaye kuwa hata ajira za mkataba zina madhara yake

No comments: