Thursday, February 11, 2010

Madega-Hivi Yanga wanaweza kutupa raha au kutuaibisha?

Madega, Young Africans haina historia nzuri kwenye mashindano ya kimataifa. Hivi hatutegemei kuwa itatupa raha uliyoisema. kwa mpira gani? Wanaweza kufurukuta tu hapa nyumbani kwa ushindi wa kupangwa! Hivyo mimi sina mpango wa kuja uwanja wa Taifa kuiona Yanga ikituaibisha.

No comments: