Friday, February 26, 2010

Tunaita kudandia


Haya ndiyo watoto wetu wanayoweza.
Kijana huyu ni umri wa wanafunzi wa shule za msingi. Sasa tujiulize anadandia bus ili iweje? Hana sare za shule pengine tungesema kuwa anataka kuwahi kwenda shule. Hapa ni Dar hiyo ndiyo Taswira ya Taifa. Picha kutoka Gazeti la Mwananchi la Tarehe 26/2/10

No comments: