Friday, February 19, 2010

Kumbe chocolate kwa kiswahili ni kashata!


Hii nimeinyaka leo kutoka blog ya uncle Michuzi. Kuna chocolate inayotenngezwa kwa jina la Tanzania. Nasikia inapendwa sana huko majuu. Sasa uncle yeye ameiita ni kashata. Sikujua kama chocalate ndiyo kashata. Tuanze kutumia sasa mtoto akitaka chocolate dukani basi tunasema nipe kashata mbili za maziwa (milk chocolate)!

No comments: