Tuesday, February 2, 2010

Walisaini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar


Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Abeid Amani Karume walisaini hati za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964. Kuna watu walioshuhudia tukio hilo ambao mpaka sasa wako hai. Mapatano ya Muungano yaliigawa Jamhuri ya Muungano katika Mamlaka (Jurisdiction) tatu kama ifuatavyo:-
1. Mamlaka ya Zanzibar ambayo ni mambo yasiyo ya Muungano ndani ya Zanzibar. Kwa mfano masuala ya Afya, Ardhi na Mazingira;
2.Maeneo ya Tanganyika (Tanzania Bara) ambayo ni mambo yasiyo ya Muungano ndani ya Tanzania Bara. Kwa mfano; Afya, Serikali za Mitaa, Kilimo na ;
3.Maeneo ya Muungano ambayo yameainishwa na Maptano ya Muungano kuwa ndio mambo ya Muungano.

No comments: