Friday, January 29, 2010

CAN2010 - Uzalendo?


Licha ya kuwa na vidonda kwenye paja lake lakini usiku wa Jana Andre Ayew alicheza kufa na kupona na kuisaidia timu yake ya Taifa ya Ghana (Black Stars) kuishinda Nigeria (Super Eagles) 1-0. Najiuliza uzalendo?

No comments: