Friday, January 8, 2010

Ninamhusudu sana Mkongwe huyu wa siasa


Robert Mugabe, Rais wa Zimbabwe ndiye ninaye muhusudu sana barani Afrika kwa msimamo wake usioyumba. Hebu angalia ndevu zake zimekaa kijasiri sana! Halafu kama hicho Kiingereza ujue kimepanda sana ndo maana waingereza na waamerika huwa wanamwangalia tu hawamtishi kwa chochote. Akiambiwa asihudhurie mkutano, ndo kwanza anakuwa wa kwanza kuingia mkutanoni au wa mwisho kwa mshangao wa wengi na huku akiwaacha wabaya wake macho ga!

No comments: