Friday, January 29, 2010

Ulaya wameanza kurudisha kwa umma huduma zilizobinafsishwa


Miaka ya 1980-90 wimbi la kubinafsisha huduma liliikumba karibu Ulaya yote. Kukiwa na dhana kuwa huduma ikitolewa na kampuni binfasi hutolewa kwa kiwango cha kuridhisha. Huduma kama vile za umeme, maji sasa zinaendeshwa na vyombo vya umma kama vile Halmashauri za miji au taasisi za kiserikali. Wakati Ulaya inabadilika hivyo sisi tunaendelea kubinafsisha karibu kila aina ya huduma. Tusimame na tuchunguze kwanza.

No comments: