Friday, January 8, 2010

Maisha PLUS kuna chakujifunza?


Maisha PLUS imeanza tena katika msimu wake wa pili. Vijana wamejitokeza kwa wingi na tayari 18 wamefanikiwa kuingia kijijini. Swali - Je, Maisha PLUS kuna cha kujifunza?

No comments: